Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

January 28, 2015

KIKUNDI CHA SANAA KIJULIKANACHO KWA JINA LA IVA YOUTH GROUP KILICHOKO WILAYANI LUDEWA CHAANDAA FILAMU YENYE MAHADHI YA LUDEWA.


Wasanii wakifanya mazoezi ya hisia
 Msanii Lucy Nkwera akifanya mazoezi ya hisia ya kulia



Kikundi cha sanaa kijulikanacho kama IVA YOUTH GROUP kimeanza kufanya mazoezi ya wilamu yenye mahadhi ya wilaya ya Ludewa ambayo inatarajia kuingia sokoni mapema Machi mwaka huu.


Katibu wa kikundi hicho Bi.Eliza Haule alisema filamu hiyo ambayo imejumuisha radio best fm,Wanyoni Intertainement pamoja na IVA YOUTH GROUP ili kuleta mabadiriko ya kisanaa wilayani hapa kwani wilaya inavipaji vingi vya wasanii lakini hakuna anayeweza kuviibua vipaji hivyo.


Bi.Eliza alisema bado kikundi hicho hakna wafadhiri hivyo anawaoma wadau mbalimbali wanaopenda sanaa kuweza kukifadhiri kikundi hicho ili kiweze kukuza vipaji vya wasanii wanaochipukia.


No comments: