Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

December 17, 2014


Breaking News:Aisha Madinda afariki Dunia.

Taarifa ambayo imetolewa kupitia Clouds FM mchana wa December 17 ni kuhusu kifo cha aliyekua Mmnenguaji wa muziki wa dansi Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ kufariki dunia.
aishamadindaChanzo cha kifo chake bado hakijafahamika,amefariki akiwa hospitali ya Mwananyamala alikopelekwa akiwa tayari ameshafariki,taarifa zaidi zitazidi kukufikia kupitia habari ludewa blog

No comments: