Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

December 17, 2014

MASHINDANO YA FUNGA MWAKA NA BEST FM YAANZA KWA KISHINDO

 Meneja wa kituo cha radio wilayani Ludewa Best FM Bi.Deograsia Nyoni akifunguamashindano ya mpira wa miguu kati ya Ludewa Rangers na Mzalendo FC,Pambano hilo liliisha kwa timu ya Ludewa Rangers kuifunga goli tatu kwa moja Mzalendo FC.



 Timu ya Ludewa Rangers iliyovalia jezi za manjano na Mzalendo fc Jezi Nyekundu wakiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya wafanyakazi wa radio best fm

No comments: