Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

July 11, 2014

WACHEZAJI WA TIMU YA MPIRA WA MIGUU LUDEWA MJINI WAMLA MBUZI WA UMOJA KWANZA

 waandaaji wakiwa katika harakati za kumchinja
zoezi la kumla mbuzi wa umoja kwanza likiwa katika hatua za awali
baadhi ya wachezaji wakipata nyama ya mbuzi ambaye walimpata katika tamasha la umoja kwanza,timu hiyo iliibuka kidedea baada ya kuifunga timu ya uplands fm goli 4 kwa moja
wadau wa soka wilayani Ludewa wakipata nyama ya mbuzi

No comments: