Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

July 11, 2014

FILIKUNJOMBE AFANYA UKAGUZI WA KUSHITUKIZA BARABARA YA LUDEWA

 Filikunjombe akihojiwa na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa ziara ya ukaguzi wa barabara
Filikunjombe akipima barabara kuhakikisha vipimo vilivyopangwa kupanuliwa
msafara wa ziara ya ukaguzi wa barabara eneo la mlima wa Ludewa kijijini
Filikunjombe akiwauliza mawsali wakandarasi

eneo la barabara ambalo tayari limeshapanuliwa
Mtaalam kutoka kampuni ya Mtwivila construction akihojiwa na waandishi wa habari

 Mkurugenzi wa G,S Contructors co LTD akihojiwa na waandishi wa habari
Mtaalam kutoka kampuni ya Canopies akihojiwa na waandishi wa habari
 wanahabari wakiangalia barabara
 Filikunjombe akipata maelezo kutoka kwa raia wa China anayetoka kampuni ya SIETCO inayojenga barabara za mitaa ya mji wa Ludewa kwa kiwango cha lami
wanahabari wakiwa katika barabara mpya ya kata ya Lupingu

Mkurugenzi wa Boimanda Construction akihojiwa na waandishi wa habari
moja ya magari ya kampuni ya siecto likiwa limepinguka

 baadhi ya mitambo ya kampuni ya G,S
Filikunjombe akiwa katika picha ya pamoja na Makandarasi wote wanaofanya kazi katika wilaya ya Ludewa mara baada ya kumaliza ukaguzi


No comments: