Mkuu wa wilaya ya Ludewa Bw.Juma Solomon Madaha akihutubia wananchi siku ya familia Duniani wilayani Ludewa
viongozi mbalimbali wakifuatilia sherehe hizo
Mwalimu Frola Mgaya wa shule ya msingi songambele akipiga ngoma siku ya sherehe ya familia Duniani
Bi.Monica Mchilo ambaye ni diwani wa kata ya Ludewa akicheza ngoma ya maharamisi
Afisa tawala wa wilaya ya Ludewa Bw.Charles Keiya akiwasalimia wananchi
kikundi cha ngoma ya mganda cha mzalendo kikitumbuiza
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Bw.Juma Madaha na mkurugenzi wa halmashauri ya wilya ya Ludewa Bw.Waziri wakiondoka katika sherehe hizo
wanafamilia wakisoma risala siku ya familia
Wanaiva youth group hao
Mwalimu Lyuu wa shule ya msingi Ludewa Mjini akiimba katika sikukuu ya familia
Kutoka kushoto ni muhandisi wa ujenzi wilaya ya ludewa Baraka Mkuya akiwa na Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya ludewa Edings Mwakambonja
kundi la sanaa la IVA youth group lenye makao yake wilayani Ludewa likiburudisha siku ya familia
mkuu wa wilaya ya Ludewa Bw.Juma Solomon Madaha akihutubia wananchi
Mwalimu Manongo wa shule ya msingi Ludewa kijijini akiselebuka na wanafunzi wake ngoma ya likwata
viongozi mbalimbali wakifuatilia sherehe hizo
Mwalimu Frola Mgaya wa shule ya msingi songambele akipiga ngoma siku ya sherehe ya familia Duniani
Bi.Monica Mchilo ambaye ni diwani wa kata ya Ludewa akicheza ngoma ya maharamisi
Afisa tawala wa wilaya ya Ludewa Bw.Charles Keiya akiwasalimia wananchi
kikundi cha ngoma ya mganda cha mzalendo kikitumbuiza
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Bw.Juma Madaha na mkurugenzi wa halmashauri ya wilya ya Ludewa Bw.Waziri wakiondoka katika sherehe hizo
wanafamilia wakisoma risala siku ya familia
Wanaiva youth group hao
Mwalimu Lyuu wa shule ya msingi Ludewa Mjini akiimba katika sikukuu ya familia
Kutoka kushoto ni muhandisi wa ujenzi wilaya ya ludewa Baraka Mkuya akiwa na Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya ludewa Edings Mwakambonja
kundi la sanaa la IVA youth group lenye makao yake wilayani Ludewa likiburudisha siku ya familia
mkuu wa wilaya ya Ludewa Bw.Juma Solomon Madaha akihutubia wananchi
Mwalimu Manongo wa shule ya msingi Ludewa kijijini akiselebuka na wanafunzi wake ngoma ya likwata
Mkuu wa wilaya ya Ludewa
Bw.Juma Solomon Madaha ameapa kutowasaidia wananchi wilayani humo
watakaokumbwa na balaa la njaa kutokana na wananchi hao kuanza
kuvuna mahindi na kuyauza kwa bei rahisi na kusahau kuacha akiba ya
baadae.
“Sitaomba
chakula cha msaada kutoka Serikalini kwaajili ya kuwasaidia wananchi
wa wilaya yangu ni bora nikafukuzwa kazi kwani mahindi yako yakutosha
na anayeanza kuvuna na kuyauza kwa bei rahisi bila kuacha akiba
shauli yake na serikali haitalaumiwa kwa hilo”alisema Bw.Madaha.
Mwisho.
No comments:
Post a Comment