Bw.Lucasa akiwaadhibu wapinzani wake
Bw.Ngailo akipambana katika shindano hilo
Bw.Ngailo akiendelea kupambana lakini alitolewa katika laundi ya tatu
Bw.Siza akiwa kazini katika kuwania ushindi wa mashindano hayo,aliyeshika chupa ya bia ni Bw.Robart ndiye aliyeibuka mshindi wa tatu katika mashindano hayo na kupata kiasi cha shilingi elfu kumi.
Mdha,imi wa ,ashindano hayo Bw.Baraka Mkuya akipanga token
Haji akipambana kuwania ushindi
Huyu ndiye mshindi wa pili aliyejulikana kwa jina la Ally aliondoka na kiasi cha shilingi elfu ishirini katika mashindano hayo
Bw.Seleman akipambana na aliyeshika ushindi wa pili kabla ya kutolea katika mashindano
Aliyeshika chupa ya bia ni mdhamini wa mashindao hayo ambapo alitoa kiasi cha shilingi elfu sitini ili zishindaniwe kutokana na wilaya ya Ludewa kutokuwa na wadhamini wa vinywaji katika mchezo huo.
Hamis ambaye ni Meneja wa baa hiyo ya Leaders akifungua pool baada ya Haji kutolewa
Mdhamini akipanga token
Sule akipambana
Siza akipamana kuwania ubingwa
No comments:
Post a Comment