Habari zilizotufikia ni kwamba
msanii Albert Mangwair amefariki dunia akiwa
Afrika kusini
Taarifa zilizotufikia hivi punde ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa msanii Albert Mangwair amefariki dunia akiwa nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa katika hospitali ya St Hellen.
Taarifa zilizotufikia hivi punde ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa msanii Albert Mangwair amefariki dunia akiwa nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa katika hospitali ya St Hellen.
No comments:
Post a Comment