Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

April 30, 2013

UJENZI WA MADARAJA WAFANYIKA MAENEO KOROFI WILAYANI LUDEWA

Daraja la awali la waenda kwa miguu katika kata ya Kilondo mwambao wa ziwa Nyasa ambapo pia daraja jipya limejengwa hivi karibuni.
Ujenzi wa daraja jipya ukiwa umeanza na kulibomoa daraja la zamani
Hili ni daraja jipya likiwa linaanza kujengwa
wajenzi wakiendelea na ujenzi
ujenzi wa daraja jipya kwa kutumia vyuma kata ya kilondo
ujenzi wa daraja jipya
daraja la zamani likitolewa na kujengwa daraja jipya
mafunzi wakiendelea na ujenzi
 ujenzi wa daraja jipya
wananchi wa kijiji cha kilondo wakianza kupita katika daraja jipya
hili ndilo daraja jipya la waenda kwa miguu katika kata ya Kilondo mwambao mwa ziwa nyasa wilayani Ludewa
Daraja la zamani la Kipulilo katika kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa
Wajenzi wakiangalia namna ya ujenzi wa daraja jipya
Mwananchi akishindwa kupita baada ya daraja la zamani katika mto Nchuchuma kuondoa kingo za daraja hilo
Wataalamu wakiangalia maeneo ya kujenga taraja jipya
Hili ndilo daraja jipya baada ya lile la zamani kuvunjwa na maji
wananchi wa mbongo wakiliangalia daraja jipya baada ya kujengwa

mafundi wakiendelea na shughuri za umwagiliaji maji katika daraja hilo
hili ndilo Daraja jipya la mbongo
haya ni matundu ya kupitishia maji ili kuepusha uharibifu wa mafuliko
Mafundi wakiendelea na ukarabati wa daraja jipya la kipulilo Mbongo kata ya manda
daraja likiwa limekamilika
Mwananchi akipita bila hofu yoyote

No comments: