Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

September 10, 2012

TIMU YA POLISI LUDEWA NAYO YAIBUKA KIFUA MBELE BAADA YA KUICHARAZA TIMU YA VETERAN

Timu ya polisi inayoongozwa na kapteni Bruno Mwinuka Siwale wakisalimiana na wapinzani wao kabla ya mpambano kuanza.
Katika mechi nyingine ya ligi ya wilaya  ambapo ulifanyika mpambano kati ya timu ya Polisi Ludewa na Vetelani polisi waliibuka washindi baada ya kuwacharaza timu ya Veteran gori mbili kwa moja na mchezo huo ulifanyika katika uwanja mpya Ludewa mjini.

Hapo juu ni umati mkubwa wa watu waliofuruka kushuhudia mechi za ligi ya wilaya zinazoendelea katika viwanja hivi na katikati akionekana Mh. Mbunge wa wilaya ya Ludewa akiongea na umati huo ambapo alisisitiza umuhimu wa michezo na kuwapa moyo wachezaji wanaoshiriki katika ligi hiyo.
Picha juu ni mwandishi wa Blog hii akitoa maelezo kwa wachezaji (hawapo pichani ) baada ya mechi.

No comments: