Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

October 03, 2015

Picha 11 za MAFURIKO Ya Edward Lowassa mbele ya Wananchi wa Babati na Mto wa Mbu Oct 2.


l2
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA Edward Lowassa October 2 2015 alisimama mbele ya Wananchi wa Jimbo la Babati Mjini katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kwaraha, Babati Manyara.
L1
l3
l4
l5
l6
Edward Lowassa akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Monduli kwa Chadema kupitia mwamvuli wa UKAWA, Julius Karanga, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Barafu, Mto wa Mbu, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni

No comments: