Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

August 12, 2015

KWA WAPENDA ELIMU NDANI NA NJE YA WILAYA YA LUDEWA

Mfululizo wa vitabu mbalimbali vinavyopatikana wilaya ya Ludewa ikiwa mwandishi wa vitabu hivyo anapatikana Ludewa mjini katika mtaa wa Mkondachi.
Vitabu hivyo vya hadithi na masomo ya Kiswahili unaweza kuvipata Ndanda Mission,Imiliwaha mission Njombe na Ndumbi store Ludewa mjini katika stand ya mabasi.

Bei za vitabu hivi ni shilingi 2000 kwa Ludewa mjini lakini vimekuwa na bei tofauti katika maeneo mengine.

Vitabu vya Kiswahili na kingereza
 1.Demography kwa maendeleo ya nchi(Kiswahili)
 2.Demography for Country Development(kingereza)




Wafanyakazi wote Serikalini,Vyuo vya elimu ya juu,wakufunzi na wahadhiri na wananchi wapenda elimu kwa ujumla vitabu hivi vipo katika Sylabus ya Demography elimu ya juu.

Mtunzi ni Lazaro B.Mapunda 
kwa mawasiliano  email adres lazaromapunda@yahoo.com
                             Au S.L.P.19 Ludewa
wahi upate nakala yako sasa
 pia unaweza kutupigia simu no 0752206242

No comments: