Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

November 20, 2014

SIMON KAHEMELE KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAKE MBONGO

kitambulisho chake ambacho kilikutwa katika ajali hiyo
hapa ndipo alipopata ajali hiyo kabla ya kutolewa mwili wake ambao ulibanwa na vyuma vya gari hiyo


gari iliyobeba mwili tayari kwa mazishi ikiwa katika kituo cha Polisi wilayani Ludewa kwa safari ya kuelekea Manda Mbongo
Mke wa marehemu Kahemele aliyechuchumaa akiwa na ndugu wa marehemu wakiliangalia Gari iliyosababisha kifo chake katika kituo cha polisi Ludewa
Gari iliyobeba mwili wa marehemu Simon Kahemele ikiondoka katika kituo cha polisi Ludewa mjini tayari kwa safari ya manda




Mfanyabiashara mkubwa jijini Mbeya aliyepata ajari ya gari katika mteremko wa Kimelembe karibu kabisa na migodi ya makaa ya mawe Nkomang’ombe wilayani Ludewa mkoani Njombe anatarajia kuzikwa leo katika kijiji cha Mbongo kata ya Manda.

No comments: