Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

August 29, 2014

JIVUNIE KUWA SEHEMU YA MWANA LUDEWA KWA KUWA NA UTAJIRI MKUBWA PAMOJA NA VIVUTIO VINGI VYA UTALII

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiwaonesha wachina raslimali ya Taifa inayopatikana wilayani Ludewa ambayo ni Chuma cha Liganga katika moja ya Ziara zake za kikazi
 chuma cha Liganga

 muonekano wa chuma cha liganga kwa mbali
 Mh.Zitto Kabwe akiwa anaangalia makaa ya mawe ya Mchuchuma wilayani Ludewa
Haya ndiyo makaa ya mawe
 wageni wakiangalia makaa ya mawe katika mto mchuchuma
mzee Rashid akionesha machimbo ya Kopa yalivyochanganyikana na Dhahabu katika kitongoji cha Muhumbi wilayani Ludewa
Jiwe ambalo linakaa na dhahabu likiwa nimeshachimbwa na kuondolewa dhahabu kitongoji cha Muhumbi wilayani Ludewa
 mlima ambao kopa inapatikana
misitu aina ya miyombo inayopatikana Muhumbi wilayani Ludewa
 miamba inayopatikana ziwa Nyasa wilayani Ludewa


 Fukwe za ziwa Nyasa
miamba ya ziwa Nyasa
mapolomoko ya mto Lupali wilayani Ludewa
mapolomoko ya mto Lupali
 misitu ya asili

 Safu za milima Living Stone
Pombe aina ya Ulanzi jinsi inavyogemwa
 misitu ya Milo
Mashamba ya Ngano wilayani Ludewa
 Ngano inayopatikana wilaya ya Ludewa
Mitambo ya machimbo ya Chuma cha Liganga na Makaa ya Mawe Mchuchuma inayotarajia kuja Ludewa baada ya upanuzi wa Barabara kukamilika
Mitambo ya machimbo ya Chuma cha Liganga na Makaa ya Mawe Mchuchuma inayotarajia kuja Ludewa baada ya upanuzi wa Barabara kukamilika

No comments: