Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

May 27, 2014

JINSI MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA NJOMBE ALIVYOZIKWA KIJIJINI LUSITU HUKO LUPONDE

 Deo Sanga ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Njombe.



 Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Njombe,Adam Ismail Msigwa (pichani) ambaye alijukana kwa jina maarufu kama 'Shilingi ni Vita' amefariki  nyumbani katika Mitaa wa Kwivaha Njombe mjini na mazishi yalifanyika katika kijiji cha lisitu.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Cept. mstaafu Aseri Msangi (kushoto ) wa pili ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe Bw Saitabau na wa mwisho (kulia) ni Kamanda wa polisi mkoa  SACP  Ngonyani.

"MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI"

 'AMINA'
PICHA ZOTE NA  PROSPER MFUGALE.

No comments: