Filikunjombe akishangiliwa na wanafunzi wa shule ya msingi Ludewa mjini wakati alipopita kwa miguu maeneo ya shule hiyo.
March 25, 2015
FILIKUNJOMBE AWA KIVUTIO KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI LUDEWA
Deo Filikunjombe amekuwa na wakati mgumu anapopita maeneo ya shule ya msingi Ludewa mjini kutokana na wanafunzi kulizuia gari yake na kulazimika kushuka na kuongea nao kutokana na kuizisaidia shule nyingi wilayani Ludewa katika ujenzi wa madarasa na kutoa vifaa vya michezo
Filikunjombe akishangiliwa na wanafunzi wa shule ya msingi Ludewa mjini wakati alipopita kwa miguu maeneo ya shule hiyo.
Filikunjombe akishangiliwa na wanafunzi wa shule ya msingi Ludewa mjini wakati alipopita kwa miguu maeneo ya shule hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment