Social Icons

Facebook Twitter LinkedIn Google+

November 25, 2013

 

 Refa Huyo Anayeonekana Anaitwa Bwana Mashaka Lulambo Ndiye Aliyeanza Kupigwa Uwanjani Humo Leo.


Baadhi ya Askari Polisi Waliovalia Mavazi ya kawaida Wamenaswa Wakileta Vurugu Katika Uwanja wa Sabasaba Mjini Njombe Baada ya Timu yao Kufungwa na Timu ya Njombe Mji Leo.

Baadhi ya Watu Wameweza Kupigwa na Kujeruhiwa na Askari hao Akiwemo Refa Pamoja na Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Uplands Fm Bwana Michael Ngilangwa na Kuvunjiwa Vifaa Vyake Vya Kazi Ikiwemo Kamera Aliyokuwa Akipigia Picha na Kinasa sauti na Simu yake Ya Mkononi.

No comments: